Fahamu Mambo Mawili Kabla Hujaanza Kilimo Biashara
Unapoanzisha mradi wa kilimo biashara, unatarajia mwisho wa siku uumalize kwa kupata faida, sasa haya hapa mambo makubwa mawili unayotakiwa kuyajua kabla hujaanza mradi wako wa kilimo biashara.
Unapoanzisha mradi wa kilimo biashara, unatarajia mwisho wa siku uumalize kwa kupata faida, sasa haya hapa mambo makubwa mawili unayotakiwa kuyajua kabla hujaanza mradi wako wa kilimo biashara.
Muhogo ni zao la jamii ya mizizi. Kilimo cha muhogo hustawi vizuri katika maeneo yaliyopo kwenye mwinuko wa mita 0 hadi 1500 toka usawa wa bahari.
Ndugu mkulima, ili ufanye kilimo bora na cha kisasa cha mahindi, Mogriculture Tz inakuasa kuachana na…
Natarajia mpaka mwisho wa wa makala hii ujifunze mambo unayotakiwa kufanya ili ujue thamani ya mazao yako na uweze kupanga bei ya mazao yako mwenyewe yenye kukuletea faida bila ya kushawishiwa na madalali.
Funza wa vitumba ni nondo, na ni mdudu mharibifu maarufu wa kunde na maharage mengine kote…
Urahisi wa kilimo cha maharage na faida zake lukuki ni kivutio kwa watu wengi lakini bila kufuata muongozo wa kitaalam ni ndoto kwa mkulima kupata mavuno mengi.
Nyanya hulimwa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na pia kama zao la biashara. Hapa nchini, kilimo cha nyanya ni cha kwanza katika mazao ya mbogamboga ...
Utangulizi Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa…

Mkulima ni lazima ajifunze jinsi ya kulima mpunga kabla hajajiingiza kwenye kilimo cha mpunga. Mkulima anatakiwa kujua mbegu bora za mpunga, hatua muhimu...