Wadudu waharibifu wa nyanya na dawa zake
Ili uweze kubaini mapema uwepo wa wadudu waharibifu au magonjwa katika mimiea yako ya nyanya ni lazima uwe unachunguza mimea yako mara kwa mara. Angalia ...
Ili uweze kubaini mapema uwepo wa wadudu waharibifu au magonjwa katika mimiea yako ya nyanya ni lazima uwe unachunguza mimea yako mara kwa mara. Angalia ...
Pamoja na umuhimu wake, magonjwa ya nyanya yamekuwa ni kikwazo kikubwa sana katika uzalishaji na ubora wa matunda ya nyanya. Hivyo basi ili mkulima aweze ...
Pilipili manga (au pilipili mtama) ni zao la kiungo, linalimwa kwa ajili ya matumizi yake kwenye mapishi. Kufanya kilimo cha pilipili manga ni rahisi sana ...
Katika kipindi kilichopita tuliona mahitaji ya zao la vanilla na jinsi linavyolimwa, sasa leo napenda kukukaribisha ndugu…
Zao la vanilla lina thamani kubwa sana sokoni. Hata hivyo ni zao linalohitaji matunzao na uangalizi wa karibu sana ili liweze kukupa mafanikio stahiki. Lakini pia ni vizuri ufanye utafiti juu ya bei na soko lake kabla hujaanza uzalishaji ili usije kusumbuka kutafuta soko wakati uanakribia kuvuna.
Kilimo cha matikiti huhitaji udongo wenye rutuba nzuri ulio na virutubisho. Vile vile haihitaji udongo wenye kiasi kikubwa cha tindikali na alikali kubwa.
Nanasi linalitaji hali ya hewa ya joto. Mwinuko wa mita 1300 hadi 1750 hufaa zaidi kwa uzalishaji wa nanasi kwaajili ya kilimo cha nanasi, ...
Zao hili hustawi maeneo mengi Nchini Tanzania. Viazi hustawi vizuri katika maeneo ya tambarare yenye…
Matango, kutegemeana na aina ya mbegu, huvunwa kuanzia mwezi mmoja na nusu hadi miwili baada ya kupanda. Matunda yanatakiwa kuwa na urefu wa sm 15 hadi 20.